Higher Education Students' Loans Board

  • Dar es Salaam, Tanzania. P.O.Box 76068

  • General call +255 22 286 4643

  • Monday - Friday8:00am - 5:00pm

News & Events

17
September 2025

HESLB YAWASILISHA FEDHA ZA VIFAA VYA MAABARA SHULE YA SEKONDARI HASNUU MAKAME

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali (WEMA), Dkt. Mwanakhamis Adam Ameir, ameongoza hafla ya makabidhiano ya TZS 10,000,000/= zilizotolewa na Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya maabara katika Shule ya Sekondari Hasnuu Makame, ........

Read More
16
September 2025

MKURUGENZI MTENDAJI HESLB AKABIDHI FEDHA ZA VIFAA VYA MAABARA SHULE YA SEKONDARI TEMEKE

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo imekabidhi kiasi cha Shilingi Milioni kumi (TZS 10,000,000) kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya maabara katika Shule ya Sekondari Temeke, hatua ambayo inalenga kuboresha mazingira ya kujifunzia na kuinua kiwango cha ufaulu katika masomo ya say ........

Read More
12
September 2025

BARAZA LA WAFANYAKAZI HESLB LAKUTANA MOROGORO

Lajadili maboresho ya utendaji na utatuzi wa changamoto za wafanyakazi

Baraza la Wafanyakazi la Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) limekutana leo mjini Morogoro kujadil ........

Read More
5
September 2025

TAARIFA KWA UMMA

Tunapenda kuufahamisha umma na wanufaika wote wa mikopo ya elimu ya juu kuwa kumekuwepo na upotoshaji kutoka kwa ‘matapeli’ wanaowaelekeza wanufaika kulipa madeni yao kupitia akaunti za benki za watu binafsi.

Tunawaasa wanufaika wote kupuuza taarifa zinazotolewa na watu binafs ........

Read More
31
August 2025

TAREHE YA MWISHO YA KUPOKEA MAOMBI YA MIKOPO 2025/2026 YASOGEZWA

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inapenda kuwafahamisha Waombaji wa mikopo na Umma kwa ujumla kuwa tarehe ya mwisho ya kuwasilisha  maombi ya mikopo imesogezwa mbele kutoka tarehe 31 Agosti hadi tarehe 14 Septemba, 2025.

Hatua hii imechukuliwa ili kuwapa ........

Read More