Higher Education Students' Loans Board
Lajadili maboresho ya utendaji na utatuzi wa changamoto za wafanyakazi
Baraza la Wafanyakazi la Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) limekutana leo mjini Morogoro kujadil ........
Read More
Tunapenda kuufahamisha umma na wanufaika wote wa mikopo ya elimu ya juu kuwa kumekuwepo na upotoshaji kutoka kwa ‘matapeli’ wanaowaelekeza wanufaika kulipa madeni yao kupitia akaunti za benki za watu binafsi.
Tunawaasa wanufaika wote kupuuza taarifa zinazotolewa na watu binafs ........
Read More
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inapenda kuwafahamisha Waombaji wa mikopo na Umma kwa ujumla kuwa tarehe ya mwisho ya kuwasilisha maombi ya mikopo imesogezwa mbele kutoka tarehe 31 Agosti hadi tarehe 14 Septemba, 2025.
Hatua hii imechukuliwa ili kuwapa ........
Read More
Zikiwa zimebaki siku kumi (10) kabla ya kufunga dirisha la maombi ya mikopo kwa mwaka 2025/2026, tunawakumbusha waombaji wa mikopo na ‘Samia Scholarship’ kwamba dirisha litafungwa tarehe 31 Agosti, 2025 na hakutakuwa na muda < ........
Read More
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu ( HESLB), Dkt Bill Kiwia leo ameanza ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani Mtwara.
Baada ya kuwasili mkoani hapo alifika katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Mhe. Kanali Patrick Sawala kumsalimu pamoja kumwelezea ma ........