Higher Education Students' Loans Board
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) na Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA) zimesaini makubaliano ya ushirikiano yatakayolenga kuelimisha na kuhamasisha wakazi wa eneo la Hifadhi ya Ngorongoro kuhusu taratibu za maombi na urejeshaji wa mikopo ya elimu ya juu pamoja na m ........
Read More
426.5 BILIONI ZATOLEWA KWA WANAFUNZI 135,240
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo Ijumaa, Oktoba 24,2025 imetoa awamu ya kwanza ya upangaji mikopo na ruzuku yenye jumla ya wanafunzi 135,240. Idadi hii inajumuisha wanafunzi wafuatato:
Read More
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo, Ijumaa Oktoba 03 2025, imehitimisha kikao kazi cha siku mbili kilichowakutanisha Menejimenti ya HESLB na Maafisa Mikopo kutoka vyuo vya elimu ya juu na vya kati nchini, kilichofanyika katika ukumbi wa Royal Tughimbe jijini Mbeya.
Ak ........
Read More
Maafisa Mikopo takribani 200 kutoka vyuo mbalimbali nchini, leo wamekutana jijini Mbeya katika kikao kazi cha 14 kilichoandaliwa na Menejimenti ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB).
Kikao kazi hicho kilichofunguliwa rasmi na Dkt. Keneth Hosea, kwa niaba ya Katibu Mkuu wa ........
Read More
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali (WEMA), Dkt. Mwanakhamis Adam Ameir, ameongoza hafla ya makabidhiano ya TZS 10,000,000/= zilizotolewa na Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya maabara katika Shule ya Sekondari Hasnuu Makame, ........
Read More