Higher Education Students' Loans Board
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali (WEMA), Dkt. Mwanakhamis Adam Ameir, ameongoza hafla ya makabidhiano ya TZS 10,000,000/= zilizotolewa na Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya maabara katika Shule ya Sekondari Hasnuu Makame, ........
Read More
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo imekabidhi kiasi cha Shilingi Milioni kumi (TZS 10,000,000) kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya maabara katika Shule ya Sekondari Temeke, hatua ambayo inalenga kuboresha mazingira ya kujifunzia na kuinua kiwango cha ufaulu katika masomo ya say ........
Read More
Lajadili maboresho ya utendaji na utatuzi wa changamoto za wafanyakazi
Baraza la Wafanyakazi la Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) limekutana leo mjini Morogoro kujadil ........
Read More
Tunapenda kuufahamisha umma na wanufaika wote wa mikopo ya elimu ya juu kuwa kumekuwepo na upotoshaji kutoka kwa ‘matapeli’ wanaowaelekeza wanufaika kulipa madeni yao kupitia akaunti za benki za watu binafsi.
Tunawaasa wanufaika wote kupuuza taarifa zinazotolewa na watu binafs ........
Read More
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu inapenda kuwafahamisha Waombaji wa mikopo na Umma kwa ujumla kuwa tarehe ya mwisho ya kuwasilisha maombi ya mikopo imesogezwa mbele kutoka tarehe 31 Agosti hadi tarehe 14 Septemba, 2025.
Hatua hii imechukuliwa ili kuwapa ........
Read More