Higher Education Students' Loans Board

  • Dar es Salaam, Tanzania. P.O.Box 76068

  • General call +255 22 286 4643

  • Monday - Friday8:00am - 5:00pm

News & Events

6
June 2025

Prof. Nombo Azindua Miongozo Utoaji Mikopo na Ruzuku kwa Mwaka 2025/2026

Dodoma, Ijumaa, Juni 6, 2025

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia (WyEST), Prof. Carolyne Nombo leo (Ijumaa, Juni 6, 2025) amezindua miongozo ya utoaji mikopo na ruzuku kwa wanafunzi wa elimu ya juu na vyuo vya kati kwa mwaka 2025/2026 ku ........

Read More
28
May 2025

RAIS SAMIA AONGEZA MIKOPO ELIMU YA JUU KUTOKA BIL 464 HADI BIL 787

Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imeongeza mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kutoka kiasi cha shilingi bilioni 464 katika bajeti ya mwaka 2024/2025 hadi kufikia TZS 787 Bilioni katika bajeti ya mwaka 2025/2026.

........

Read More
17
May 2025

TAARIFA KWA UMMA

WANAFUNZI WA STASHAHADA WALIOPANGIWA MIKOPO DIRISHA LA MWEZI MACHI 2025 WAFIKIA 1,413

Tunawataarifu wanafunzi wote walioomba mikopo na umma kwa ujumla kuwa jumla ya wanafunzi 1,413 walioomba mikopo dirisha la mwezi Machi, 2025, wamepangiwa ........

Read More
16
May 2025

HESLB na NIDA Kushirikiana Kuwatambua Waombaji Mikopo Kupitia NIN

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) leo Ijumaa Mei 16, 2025, wamefanya kikao na waandishi wa habari katika ofisi za HESLB Kanda ya Mashariki zilizopo Dar es Salaam kwa lengo la kuutarifu umma kuhusu kuanza kushirikiana kuwapatia namba ya ........

Read More
15
May 2025

Prof. Mkenda: Home-grown Solutions for Smart Data Capturing

The Minister for Education, Science and Technology, Hon. Prof. Adolf Mkenda (MP), has called on education stakeholders in Tanzania to collaborate and learn from one another to develop effective systems for capturing accurate student data across all levels of education.

Speaking during the ........

Read More