Higher Education Students' Loans Board

  • Dar es Salaam, Tanzania. P.O.Box 76068

  • General call +255 22 286 4643

  • Monday - Friday8:00am - 5:00pm

News & Events

1
December 2025

WANAFUNZI 21,851 WAPANGIWA MIKOPO NA RUZUKU KATIKA AWAMU YA TATU

WAMO WALIOPANGIWA KATIKA DIRISHA LA RUFAA

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo (Jumatatu, Disemba 01, 2025) imetangaza awamu ya tatu ya upangaji mikopo na ruzuku kwa mwaka 2025/2026 yenye jumla ya wanafunzi 21,8 ........

Read More
17
November 2025

Rais Samia afungua Bunge la 13 na kuahidi kuongeza mikopo ya wanafunzi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dodoma, (Ijumaa, Novemba 14, 2025) kwa hotuba iliyogusa maeneo mbalimbali likiwemo la mikopo ya elimu ya juu ili kukidhi ongezeko la wanafunzi wanaotarajiwa kudahi ........

Read More
7
November 2025

TAARIFA KWA UMMA

215.3 BILIONI ZATOLEWA KWA WANAFUNZI 66,987

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo Ijumaa, Novemba 7,2025 imetoa awamu ya pili ya upangaji mikopo na ruzuku yenye jumla ya wanafunzi 66,987. Idadi hii inajum ........

Read More
25
October 2025

HESLB NA NCAA ZASAINI MAKUBALIANO YA KUIMARISHA UFADHILI KWA JAMII YA NGORONGORO

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) na Mamlaka ya Hifadhi ya Eneo la Ngorongoro (NCAA) zimesaini makubaliano ya ushirikiano yatakayolenga kuelimisha na kuhamasisha wakazi wa eneo la Hifadhi ya Ngorongoro kuhusu taratibu za maombi na urejeshaji wa mikopo ya elimu ya juu pamoja na m ........

Read More
24
October 2025

TAARIFA KWA UMMA

426.5 BILIONI ZATOLEWA KWA WANAFUNZI 135,240

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo Ijumaa, Oktoba 24,2025 imetoa awamu ya kwanza ya upangaji mikopo na ruzuku yenye jumla ya wanafunzi 135,240. Idadi hii inajumuisha wanafunzi wafuatato:

Read More