Higher Education Students' Loans Board
Dodoma, Ijumaa, Juni 6, 2025
Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia (WyEST), Prof. Carolyne Nombo leo (Ijumaa, Juni 6, 2025) amezindua miongozo ya utoaji mikopo na ruzuku kwa wanafunzi wa elimu ya juu na vyuo vya kati kwa mwaka 2025/2026 ku ........
Read More
Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan imeongeza mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kutoka kiasi cha shilingi bilioni 464 katika bajeti ya mwaka 2024/2025 hadi kufikia TZS 787 Bilioni katika bajeti ya mwaka 2025/2026.
........ Read More
WANAFUNZI WA STASHAHADA WALIOPANGIWA MIKOPO DIRISHA LA MWEZI MACHI 2025 WAFIKIA 1,413
Tunawataarifu wanafunzi wote walioomba mikopo na umma kwa ujumla kuwa jumla ya wanafunzi 1,413 walioomba mikopo dirisha la mwezi Machi, 2025, wamepangiwa ........
Read More
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) leo Ijumaa Mei 16, 2025, wamefanya kikao na waandishi wa habari katika ofisi za HESLB Kanda ya Mashariki zilizopo Dar es Salaam kwa lengo la kuutarifu umma kuhusu kuanza kushirikiana kuwapatia namba ya ........
Read More
The Minister for Education, Science and Technology, Hon. Prof. Adolf Mkenda (MP), has called on education stakeholders in Tanzania to collaborate and learn from one another to develop effective systems for capturing accurate student data across all levels of education.
Speaking during the ........
Read More