Higher Education Students' Loans Board
Machi 18, 2024, Dar es salaam
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) na Wakala wa Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi Zanzibar (ZEEA) zimesaini hati ya makubaliano yenye lengo la kutafuta fursa za ajira kwa wanufaika na mikopo ya elimu ya juu ili kuwawezesha kurejesha.
Hafla ........
Read More
Tunapenda kuwafahamisha wanafunzi wa Stashahada (Diploma) waliopata udahili wa kuanza masomo mwezi Machi, 2024 kuwa dirisha la kuomba mkopo kwa njia ya mtandao litafunguliwa kwa WIKI TATU kuanzia Machi 1, 2024 hadi Machi 22, 2024.
Wanafunzi wanapaswa kusoma ‘Mwongozo wa Utoaji Mikop ........
Read More
Dodoma, Februari 22, 2024
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa HESLB Dkt. Bill Kiwia aliyefika ofisini kwa Waziri jijini Dodoma kujitambulisha rasmi baada ya kuteuliwa Februari 6 mwaka huu.
Katika kikao ........
Read More
HESLB, SAFAG ya Uswisi zaanza mazungumzo kuongeza vyanzo vya fedha
Na Mwandishi Wetu, Dar es salaam
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) Dr. Bill Kiwia amekutana na Mtendaji Mkuu wa taasisi ya Swiss Alternative Financing (SAFA ........
Read More
Wednesday, Feb. 7, 2024
President Samia Suluhu Hassan has appointed Dr. Bill Kiwia to be the Executive Director of the Higher Education Students’ Loans Board (HESLB).
Dr. Kiwia takes over from Mr. Abdul-Razaq Badru who has been appointed Director General of the Public Servic ........
Read More