Higher Education Students' Loans Board

  • Dar es Salaam, Tanzania. P.O.Box 76068

  • General call +255 22 286 4643

  • Monday - Friday8:00am - 5:00pm

News & Events

12
December 2025

HESLB Yafanya Kikao cha Wafanyakazi

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo tarehe 12 Disemba, 2025 imefanya kikao chake cha wafanyakazi katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya mwendelezo wa mikutano yake ya kujadili utekelezaji wa majukumu, kujitat ........

Read More
8
December 2025

HESLB na ADAPT IT Zaingia Makubaliano Rasmi

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeingia katika hatua nyingine ya mageuzi ya kidijitali baada ya kuingia makubaliano rasmi na kampuni ya kimataifa ya TEHAMA, ADAPT IT ya Afrika Kusini, yenye uzoefu mpana katika kuendeleza mifumo ya elimu na fedha barani Afrika. Hafla fupi ya u ........

Read More
1
December 2025

WANAFUNZI 21,851 WAPANGIWA MIKOPO NA RUZUKU KATIKA AWAMU YA TATU

WAMO WALIOPANGIWA KATIKA DIRISHA LA RUFAA

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo (Jumatatu, Disemba 01, 2025) imetangaza awamu ya tatu ya upangaji mikopo na ruzuku kwa mwaka 2025/2026 yenye jumla ya wanafunzi 21,8 ........

Read More
17
November 2025

Rais Samia afungua Bunge la 13 na kuahidi kuongeza mikopo ya wanafunzi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dodoma, (Ijumaa, Novemba 14, 2025) kwa hotuba iliyogusa maeneo mbalimbali likiwemo la mikopo ya elimu ya juu ili kukidhi ongezeko la wanafunzi wanaotarajiwa kudahi ........

Read More
7
November 2025

TAARIFA KWA UMMA

215.3 BILIONI ZATOLEWA KWA WANAFUNZI 66,987

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo Ijumaa, Novemba 7,2025 imetoa awamu ya pili ya upangaji mikopo na ruzuku yenye jumla ya wanafunzi 66,987. Idadi hii inajum ........

Read More