Higher Education Students' Loans Board
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo, Ijumaa Oktoba 03 2025, imehitimisha kikao kazi cha siku mbili kilichowakutanisha Menejimenti ya HESLB na Maafisa Mikopo kutoka vyuo vya elimu ya juu na vya kati nchini, kilichofanyika katika ukumbi wa Royal Tughimbe jijini Mbeya.
Ak ........
Read More
Maafisa Mikopo takribani 200 kutoka vyuo mbalimbali nchini, leo wamekutana jijini Mbeya katika kikao kazi cha 14 kilichoandaliwa na Menejimenti ya Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB).
Kikao kazi hicho kilichofunguliwa rasmi na Dkt. Keneth Hosea, kwa niaba ya Katibu Mkuu wa ........
Read More
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali (WEMA), Dkt. Mwanakhamis Adam Ameir, ameongoza hafla ya makabidhiano ya TZS 10,000,000/= zilizotolewa na Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya maabara katika Shule ya Sekondari Hasnuu Makame, ........
Read More
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo imekabidhi kiasi cha Shilingi Milioni kumi (TZS 10,000,000) kwa ajili ya ununuzi wa vifaa vya maabara katika Shule ya Sekondari Temeke, hatua ambayo inalenga kuboresha mazingira ya kujifunzia na kuinua kiwango cha ufaulu katika masomo ya say ........
Read More
Lajadili maboresho ya utendaji na utatuzi wa changamoto za wafanyakazi
Baraza la Wafanyakazi la Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) limekutana leo mjini Morogoro kujadil ........
Read More