Higher Education Students' Loans Board
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo tarehe 12 Disemba, 2025 imefanya kikao chake cha wafanyakazi katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya mwendelezo wa mikutano yake ya kujadili utekelezaji wa majukumu, kujitat ........
Read More
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imeingia katika hatua nyingine ya mageuzi ya kidijitali baada ya kuingia makubaliano rasmi na kampuni ya kimataifa ya TEHAMA, ADAPT IT ya Afrika Kusini, yenye uzoefu mpana katika kuendeleza mifumo ya elimu na fedha barani Afrika. Hafla fupi ya u ........
Read More
WAMO WALIOPANGIWA KATIKA DIRISHA LA RUFAA
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo (Jumatatu, Disemba 01, 2025) imetangaza awamu ya tatu ya upangaji mikopo na ruzuku kwa mwaka 2025/2026 yenye jumla ya wanafunzi 21,8 ........
Read More
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amefungua Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dodoma, (Ijumaa, Novemba 14, 2025) kwa hotuba iliyogusa maeneo mbalimbali likiwemo la mikopo ya elimu ya juu ili kukidhi ongezeko la wanafunzi wanaotarajiwa kudahi ........
Read More
215.3 BILIONI ZATOLEWA KWA WANAFUNZI 66,987
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) leo Ijumaa, Novemba 7,2025 imetoa awamu ya pili ya upangaji mikopo na ruzuku yenye jumla ya wanafunzi 66,987. Idadi hii inajum ........
Read More