Higher Education Students' Loans Board

  • Dar es Salaam, Tanzania. P.O.Box 76068

  • General call +255 22 286 4643

  • Monday - Friday8:00am - 5:00pm

FAQ

Maswali Kuhusu Utoaji Wa Mikopo

HESLB loan application and allocation

Popular Questions

Mwombaji;

  • Awe mtanzania
  • Awe ameomba mkopo kwa utaratibu ulioelekezwa (online)
  • Awe amepata udahili (admission) kwenye chuo kinachotambuliwa na jina lake kuwasilishwa Bodi ya Mikopo
  • Asiwe na chanzo kingine cha kugharamia masomo yake ya chuo kikuu (mfadhili, ZHELB n.k)
  • Maelezo ya kina kuhusu sifa na vigezo hutolewa na Mwongozo

 

 

  • Maombi yote yanafanywa kwa njia ya mtandao wa Bodi ya Mikopo  
  • Kila mwombaji anapaswa kusoma kwa makini mwongozo unaotolewa ndani ya mwaka husika wa masomo
  • Mwombaji atumie namba ya mtihani wa kidato cha nne kujisajili 
  • Cheti cha kuzaliwa cha mwombaji kilichothibitishwa na RITA/ZCSRA
  • Cheti cha kifo ikiwa umepoteza mzazi kilichothibitishwa na RITA/ZCSRA
  •  iKitambulisho cha mdhamini (NIDA, Mpiga Kura, Leseni ya Udereva au Pasi ya Kusafiria). Unaweza kutumia kimoja kati ya vitambulisho hivi
  • Fomu ya ufadhili iliyojazwa kwa usahihi ikiwa ulifadhiliwa katika masomo ya sekondari
  • Barua ya Mganga Mkuu wa Wilaya au Mkoa ikiwa mwombaji au mzazi wake ana ulemavu vii.
  • Picha (passport size) za mwombaji wa mkopo na mdhamini wake (mdhamini anaweza kuwa mzazi au mlezi)
  • Fursa ya kukata rufaa hutolewa baada ya kukamilisha zoezi la kupanga mikopo
  • Ikitokea mwombaji akakosa kwenye rufaa, atapata fursa ya kuomba tena kwa mwaka unaofatia

General Questions

  • Hakikisha umesaini fomu ya maombi ya mkopo
  • Hakikisha mdhamini wako amesaini fomu yako katika eneo lake
  • Hakikisha fomu yako imesainiwa na kugongwa mihuri na Serikali ya Mtaa au Kijiji chako
  • Hakikisha fomu yako imesainiwa na mwanasheria au hakimu kuthibitisha taarifa zako na za mdhamini wako
  • Chakula na malazi
  • Ada ya mafunzo
  • Vitabu na viandikwa
  • Mahitaji maalumu ya kitivo
  • Utafiti
  • Mafunzo kwa vitendo
  • Taarifa zote kuhusu mikopo ya elimu ya juu hupatikana kupitia tovuti ya Bodi ya Mikopo
  • Kwa wanafunzi waliopo vyuoni, kila chuo kina afisa anayesimamia masuala ya mikopo.Ulizia, ofisi yake na atakuhudumia
  • Kuwasilisha taarifa zake kwa afisa mikopo (Namba ya usajili na taarifa za benki)
  • Kusaini malipo yanayotumwa chuoni kwake ndani ya muda uliopangwa
  • Kutoa taarifa kwa afisa mikopo wa chuo chake mapema, kama kuna tatizo lolote linalohusiana na mkopo wake
  • Kutembelea tovuti ya HESLB ili kupata taarifa mbalimbali za mikopo ya elimu ya juu